Thursday 5 June 2014

T.I na Floyd Mayweather wamemaliza ugomvi wao


T.I amesema Beef yake na bondia Floyd Mayweather hatimaye wameimaliza....
T.I
Inasemekana kisa cha beef hiyo ni bondia Floyd Mayweather alimwambi Rapper T.I control your bi*****  motherf*********

Floyd Mayweather

Floyd Mayweather alipofanyiwa Interview alisema T.I.‘Must’ve Forgot What I Do For A Living’ 
Baada ya kuona hivyo, Tip alidhani kwamba inamaanisha kwamba Floyd anajaribu kuwa karibu na mke wake.....
T.I na Floyd mayweather